TAARIFA MUHIMU KWA DIASPORA
Jumuiya ya Watanzania (ATF) imepokea taarifa kupitia kiongozi wake kuhusu upatikanaji wa kitambulisho cha Taifa: Ndugu Watanzania wenzangu, Hakuna asiyejua umuhimu wa kuwa na kitambulisho cha kitaifa hasa kipindi hiki ambapo ni wajibu wa kila Mtanzania kuhakikisha anapata kitambulisho hicho. Mamlaka inayotoa vitambulisho vya kitaifa (NIDA), wakotayari na wanatoa huduma hiyo katika jengo la Magereza [...]