Balozi Slaa ajitambulisha rasmi Finland
Ndugu Wanajumuiya, Siku ya Alhamisi Oktoba 25, 2018 Mh Balozi Dr. Willibrod Slaa alikutana na Rais wa Finland Mh Sauli Niinistö kwenye Ofisi za Rais mjini Helsinki, Finland. Mkutano huo ulikuwa wa kujitambulisha rasmi kwa Balozi Dr Willibrod Slaa kama Balozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika nchi za Nordic na Baltic. [...]