Tanzia – Abba Mjengwa
Uongozi wa ATF umepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha mtoto wa wanajumuiya wenzetu. Bw.Khamis Mjengwa na Bi.Jecinta W. Kamau wamefiwa na mtoto wao wa kiume Abba Mjengwa. Abba Mjengwa amefariki tarehe 14 Februari 2022, Dar-es-Salaam, Tanzania. Abba alikuwa ana umri wa miaka miwili. Kama ilivyo desturi yetu, kutakuwa na mchango wa rambirambi kwa [...]